Tuko tayari kukusaidia
Tuambie unachohitaji.
Kwa bei za bidhaa, huduma za kiwandani au nafasi za malazi, chagua huduma husika na ujumbe wako utaandaliwa kwa WhatsApp.
Ofisi na kiwanda
Tufikie moja kwa moja.
Tunapatikana kwenye eneo linalofikika kwa mizigo mikubwa na midogo kuelekea Arusha na mikoa ya jirani.
- ⌖MahaliKwa Mrefu (Kituo cha Basi), Kata ya Baraa, mkabala na CET Garden, Arusha, Tanzania
- ☎Simu na WhatsApp+255 783 250 177
- ✉Sanduku la postaS.L.P 23112, Arusha
- ◷Muda wa kaziJumatatu–Jumamosi, 8:00–18:00
Jumapili tumefungwa